POLICE RECOVER EXPLOSIVES IN DADAAB
Polisi huko Dadaab wamepata vilipuzi kadhaa katika kambi ya Ifo vikiwa vimefichwa katika chumba. Inasemekana kuwa mtoto mmoja alikuwa akicheza na vilipuzi hivyo na ndipo mlipuko ulipotokea. Inaripotiw [ ... ]
|
IEBC on Election Date
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na mipaka, IEBC, Isaack Hassan, anapanga kuwauliza rasmi rais Mwai Kibaki na waziri mkuu Raila Odinga, kuvunja serikali ya muungano mwezi oktoba, ili kuruhusu uchaguzi m [ ... ]
|
IEBC Presents Report
Tume ya uchaguzi na mipaka, IEBC, imeikabidhi kamati ya bunge kuhusu utekelezaji wa katiba, ripoti kuhusu maeneo ya bunge na wadi yaliyopendekezwa. Akiikabidhi kamati hiyo ripoti, mwenyekiti wa IEBC, [ ... ]
|
Lamu Boat Tragedy
Watu tisa wamethibitishwa kufariki huku wengine 13 wakiendelea kupata matibabu ambapo boti mbili ziligongana hapo jana usiku na moja kuzama kisiwani lamu. Shughuli za uokoaji zingali zinaendelea katik [ ... ]
|